Run for NO Cancer
Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) tulipata fursa ya kushiriki katika tukio la mbio zilizoandaliwa na Good Samaritan Cancer Hospital (GSCH) ambazo zilikuwa za makundi matatu ( KM 5, KM 10 KM 15). Mbio hizi zilianzia katika hospitali ya GSCH hadi daraja la Magufuli (Magufuli Bridge) zilikuwa na kauli mbiu ya “Run for NO […]