Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health ) – TTCIH iliyopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro anawatangazia umma kwamba sasa DIRISHA LA UDAHILI lipo wazi kwa kozi zifuatazo kwa mwaka wa masomo 2023/2024.
Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo;
Sifa za muombaji kwa kozi ya stashahada ya Utabibu (miaka mitatu)awe:
- Amehitimu kidato cha nne kwa ufualu wa angalau D ya Biology, Chemistry na Physics
Sifa za muombaji kwa kozi ya stashahada ya Optometria (Miaka mitatu) awe na:
- Amehitimu kidato cha nne kwa ufualu wa angalau D ya Biology, Chemistry, Basic Mathematics, English na Physics/Engineering Sciences
Sifa za muombaji kwa kozi ya stashahada ya Ufamasia (miaka mitatu) awe na:
- Amehitimu kidato cha nne kwa ufaulu wa angalau D ya Biology na Chemistry
Sifa za muombaji kwa kozi ya stashahada ya Health Information Sciences (Miaka mitatu) awe na:
- Amehitimu kidato cha nne kwa ufualu wa angalau D ya Biology, Basic Mathematics na English Language
Tip: Resize the browser window to see how the value "justify" works.
Kwa msaada na maelekezo zaidi na pamoja na kujaza fomu za maombi piga simu namba zifuatazo +255718 552164, +255758 943 044, +255787629707 au tutumie barua pepe info@ttcih.ac.tz




