Nafasi za Kujiunga na Chuo kwa Mwaka wa Masomo 2023/2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Ifakara (Tanzanian Training Centre for International Health ) – TTCIH iliyopo mjini Ifakara Mkoani Morogoro anawatangazia umma kwamba sasa DIRISHA LA UDAHILI lipo wazi kwa  kozi zifuatazo  kwa mwaka wa masomo 2023/2024. Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo; 1. Stashahada ya Utabibu (Diploma in Clinical Medicine) – Miaka […]
Read more

Matokeo ya Udahili Dirisha la Tatu

Taasisi ya Mafunzo ya Afya TTCIH – IFakara inapenda kutoa taarifa kwa umma kwamba matokeo ya uchaguzi dirisha la awamu ya tatu kwa waombaji wa programu ya Utabibu (Yaani Diploma in Clinical Medicine) mkupuo wa Septemba 2022/2023 yametoka rasmi leo tarehe 05 October, 2022. Waombaji wote waliochaguliwa wanaweza kupakua maelekezo ya kujiunga na Chuo (Joining Instructions) kwenye […]
Read more

Project Coordinator : Vacancy Announcement

Job Summary  Position            :  Project Coordinator (1 post) Reports To       :   Deputy Director – Research and Consultancy Work Station   :   Ifakara, Morogoro Apply By          :    September 28, 2022 Institute Overview Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) is a health training institution established […]
Read more

Matokeo ya Udahili Awamu ya Pili

Taasisi ya Mafunzo ya Afya TTCIH – IFakara inapenda kutoa taarifa kwa umma kwamba matokeo ya uchaguzi awamu ya pili kwa waombaji wa programu ya Utabibu (Yaani Diploma in Clinical Medicine) mkupuo wa Septemba 2022/2023 yametoka rasmi leo tarehe 12 September, 2022. Waombaji wote waliochaguliwa wanaweza kupakua maelekezo ya kujiunga na Chuo (Joining Instructions) kwenye kiunganishi […]
Read more

Matokeo ya Uchaguzi wa Udahili Awamu ya Kwanza

Taasisi ya Mafunzo ya Afya TTCIH – IFakara inapenda kutoa taarifa kwa umma kwamba matokeo ya uchaguzi awamu ya kwanza kwa waombaji wa programu ya Utabibu (Yaani Diploma in Clinical Medicine) mkupuo wa Septemba 2022/2023 yametoka rasmi leo tarehe 15 Agosti, 2022. Waombaji wote waliochaguliwa wanaweza kupakua maelekezo ya kujiunga na Chuo (Joining Instructions) kwenye […]
Read more

Invitation for Pre-Qualification of Supply of Goods

The Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) is a health training institution. established under a Public Private Partnership (PPP) Between the Ministry of Health (MoH), the Novartis Foundation and the Swiss Tropical and Public Health Institute. The TTCIH aims at supporting the Tanzanian government’s national health reform policy for strengthening human resource development, through […]
Read more

Nafasi za Kujiunga na Chuo kwa Mwaka wa Masomo 2022/2023

Udahili Mwaka wa Masomo 2022/23 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzanian Training Centre for International Health, (TTCIH) anawatangazia umma nafasi za kujiunga na chuo kwa mwaka wa masomo 2022/2023. TTCIH ni Taasisi ya mafunzo ya Afya Ifakara iliyosajiliwa na NACTVET kwa namba HAS/003, Chuo kipo Ifakara mjini, Mkoani Morogoro. Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo Stashahada ya […]
Read more

TTCIH Receives award from Ministry of Health (MoH)

Following an external Continuous Quality Improvement (CQI) assessment; the Ministry of Health (through the Directorate of Human Resource Development) and Jhpiego have recognized and awarded the Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH), Ifakara a quality prize for health training and services
Read more

Vacancy Announcement

Job SummaryPosition           :  Accountant Officer (1 post)Report to         :  Finance and Administration ManagerWorkstation    :  IfakaraApply By          :  25th February 2022 Institution OverviewThe Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) is a HealthTraining Institution established in 2006 under the public-private partnershipagreement between the Ministry […]
Read more

This will close in 10 seconds

error: CONTENT IS PROTECTED !!